BAADA YA SADC KUITAJA TANZANIA KINARA WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA; KAMISHNA LUOGA ATAKA WATUMISHI KUKUZA MATUMIZI YA NISHATI HIYO

Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Innocent Luoga amewataka Watumishi wa Wizara ya Nishati kuendelea kukuza matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini ili kufanikisha ajenda hiyo  ambayo kinara wake ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan. Ameeleza kuwa ajenda ya nishati safi ya kupikia tayari imeanza kuonesha mafanikio…

Read More

Wanne wauawa kwa tuhuma za uhalifu, kufumaniwa Mbeya

Mbeya. Watu watano wamefariki dunia jijini Mbeya, wakiwamo wanne wanaodaiwa kujihusisha na vitendo vya uhalifu ikiwemo uporaji na upigaji nondo nyakati za usiku, na mmoja ameuawa kwa fumanizi. Hivi karibuni gazeti la Mwananchi liliripoti uwepo wa makundi ya uhalifu katika maeneo mbalimbali jijini Mbeya, siku chache baada ya mwandishi wa TV Imaan, Rashid Mkwinda, kuvamiwa,…

Read More

VODACOM TANZANIA FOUNDATION YAKABIDHI MIUNDOMBINU YA VYOO KWA SHULE MBILI WILAYANI BUTIAMA NA BARIADI.

-NI KATIKA SHULE ZA MSINGI SIMA A NA MADARAKA, IKITIMIZA ILIYOTOLEWA WAKATI WA MSAFARA WA TWENDE BUTIAMA 2025. Simiyu & Mara, Tanzania 17Machi 2026: Taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation kwa kushirikiana na wadau wake wakiwemo Stanbic Bank Tanzania pamoja na waandaaji wa msafara wa Twende Butiama, wamekabidhi rasmi miundombinu ya vyoo katika Shule za Msingi…

Read More

Aliyemuua mwanawe akitaka utajiri ahukumiwa kunyongwa

Iringa. Mahakama Kuu Kanda ya Iringa, imemuhukumu kunyongwa hadi kufa Joseph Mhulila baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kumuua mtoto wake, Timotheo Mhulila (4), kinyume na vifungu namba 196 na 197 vya Sheria ya Kanuni ya Adhabu, Sura ya 16 ya mwaka 2022. Hukumu hiyo ilitolewa katika kesi ya jinai namba 25532/2025, Jamhuri dhidi…

Read More