
Vyama 19 vyaikumbusha Takukuru wajibu wake
Kigoma. Wagombea ubunge wa majimbo ya Kigoma Mjini na Kigoma Kaskazini wameiomba Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Mkoa wa Kigoma, kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi kwa kuzingatia sheria na taratibu za uchaguzi. Wagombea hao wametoa kauli hiyo leo, Jumatano Septemba 17, 2025, mjini Kigoma, baada ya kushiriki mafunzo yaliyotolewa na Takukuru kuhusu…