Asilimia 78 ya kaya nchini zina uhakika wa vyoo salama
Hanang. Kaya zenye vyoo bora nchini zimefikia asilimia 78 huku asilimia 1.2 zikiwa hazina vyoo huku katika Mkoa wa Manyara, asilimia 6.4 ya kaya zake hazina vyoo salama. Hayo yamebainishwa leo Agosti 23, 2025 na Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), anayeshughulikia sekta ya afya, Profesa…
MCHENGERWA AWAONGOZA WANAPWANI UZINDUZI WA KAMPENI ZA KIHISTORIA ZA URAIS
Na John Mapepele Mgombea wa Nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Rufiji kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)na MNEC kupitia Mkoa wa Pwani, Ndugu Mohamed Omary Mchengerwa amewaongoza maelefu ya wanaCCM wa Mkoa wa Pwani kuhudhuria uzinduzi wakihistoria wa kampeni ya mgombea wa urais kwa CCM Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Uzinduzi huu unafanyika leo katika…
Ewura yasisitiza kuzingatia usahihi, usalama wa matumizi ya nishati safi
Dar es Salaam. Matumizi ya nishati safi ya kupikia yamekuwa ajenda muhimu duniani, hususan katika nchi zinazoendelea ambazo bado zinategemea kuni, mkaa, mafuta ya taa, mabaki ya mimea na vinyesi vya wanyama kwa ajili ya kupikia. Kutegemea nishati hizo zisizo salama kumechangia kuongezeka kwa matatizo ya kiafya, uharibifu wa mazingira na mzigo wa kiuchumi kwa…
RC Sendiga Aitaka Jamii Kulinda Haki za Wasichana na Wanawake, Manyara
Na Ruth Kyelula, Manyara Mkoa wa Manyara unatarajia kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani kimkoa tarehe 8 Machi 2026 katika Wilaya ya Simanjiro, huku Mkuu wa Mkoa huo, Mhe. Queen Sendiga, akitoa wito kwa jamii kuhakikisha haki za wanawake na wasichana zinalindwa na kuheshimiwa. Akizungumza na waandishi wa habari Machi 3, 2026 ofisini kwake mjini Babati,…
Harmonize na Mbosso Watoa Video ya Wimbo Mpya “Leo”
Global Publishers March 5, 2026 0 Comments Wasanii wa Bongo Flava Harmonize na Mbosso wameachia rasmi video ya wimbo wao mpya unaoitwa “Leo”, ambao tayari umeanza kuvuta hisia za mashabiki wa muziki wa Tanzania na Afrika Mashariki. Wimbo huo ni wa mahaba unaoelezea hisia za mtu anayependa kwa dhati na kuamua kuishi katika wakati wa…
DK.SAMIA ASISITIZA AMANI NA UTULIVU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 29
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Unguja MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amehutubia maelfu ya wananchi wa Mjini Unguja akiendelea na kampeni za kuomba kura kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 29,2025 huku akitumia nafasi hiyo kusisitiza amani na utulivu. Akizungumza na maelfu ya wananchi waliokusanyika katika uwanja wa Kajengwa,…
Wakamuliwa buku mbili, kupiga picha bango la mastaa Simba
WAKATI biashara mbalimbali zikiendelea kufanywa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa linapofanyika tamasha la Simba Day leo, wapiga picha mnato nao wameanzisha ubunifu wa kuhakikisha wanajipatia pesa katika siku hii kubwa kwa mashabiki wa Simba. Badala ya kupiga picha tu za mashabiki wakiwa wamekaa sehemu tofauti tofauti, sasa wameamua kuweka mabango ambayo shabiki anayehitaji atapigwa picha…
TANZANIA YATEULIWA MWENYEJI KITUO CHA MAFUNZO YA VIJANA KUHUSU MAZINGIRA
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Richard Muyungi mwenye (kanzu nyeupe) akiwahudumia wananchi mbalimbali waliojitokeza katika tukio la iftar aliyoiandaa kwa wadau wa mazingira mwishoni mwa wiki na kufanyika katika Chuo cha Mazingira, Mabadiliko ya tabianchi na Maendeleo Endelevu (IECDS) kilichopo Bunju Jijini Dar es Salaam. ***************** Kamati ya Wakuu wa Nchi na…
MIAMBA YATEMBELEA MWAMBA WA NGORONGORO.
Ikiwa ni majira ya Masika na kiubaridi, Bustani ya Eden ya Ngorongoro ikizungukwa na kingo zenye urefu wa Mita 610 huku wanyama na ndege wakichagiza kwa sauti murua zinazoashiria kuwa Ngorongoro ni mwamba wa miamba usiotikisika na kusheheni msingi imara wa vivutio vya asili, urithi wa utamanuni na maajabu saba katika eneo moja. Miamba inayounda…