DK.SAMIA ASISITIZA AMANI NA UTULIVU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 29

 Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Unguja  MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amehutubia maelfu ya wananchi wa Mjini Unguja akiendelea na kampeni za kuomba kura kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 29,2025 huku akitumia nafasi hiyo kusisitiza amani na utulivu. Akizungumza na maelfu ya wananchi waliokusanyika katika uwanja wa Kajengwa,…

Read More

Wakamuliwa buku mbili, kupiga  picha bango la mastaa Simba 

WAKATI  biashara mbalimbali zikiendelea kufanywa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa linapofanyika tamasha la Simba Day leo, wapiga picha mnato nao wameanzisha ubunifu wa kuhakikisha wanajipatia pesa katika siku hii kubwa kwa mashabiki wa Simba. Badala ya kupiga picha tu za mashabiki wakiwa wamekaa sehemu tofauti tofauti, sasa wameamua kuweka mabango ambayo shabiki anayehitaji atapigwa picha…

Read More

MIAMBA YATEMBELEA MWAMBA WA NGORONGORO.

Ikiwa ni majira ya Masika na kiubaridi, Bustani ya Eden ya Ngorongoro ikizungukwa na kingo zenye urefu wa Mita 610  huku wanyama na ndege wakichagiza kwa sauti murua zinazoashiria kuwa Ngorongoro ni mwamba wa miamba usiotikisika  na kusheheni msingi imara wa vivutio vya asili, urithi wa utamanuni na maajabu saba katika eneo moja. Miamba inayounda…

Read More