
Vyuo vyatakiwa kujipanga kupokea wanufaika wa mpango elimu bila ada
Dar es Salaam. Vyuo vikuu na vya kati vimetakiwa kuanza maandalizi ya kulipokea kundi la kwanza la wanafunzi wanufaika wa mpango wa elimu bila ada litakalojiunga na ngazi hizo za elimu kuanzia mwaka 2027. Miongoni mwa maandalizi yaliyoelekezwa ni ujenzi wa miundombinu itakayowezesha kundi hilo kubwa kupata fursa katika taasisi za elimu ya juu. Itakumbukwa…