BALOZI NCHIMBI KUONGOZA WAOMBOLEZAJI MAZISHI YA KIBIKI LEO

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi anatarajiwa kuongoza waombolezaji katika shughuli ya kutoa heshima za mwisho na mazishi ya Ndugu Christina Alex Kibiki, aliyekuwa Katibu wa CCM Wilaya ya Kilolo, mkoani Iringa, ambaye alipoteza uhai hivi karibuni baada ya kuvamiwa na kupigwa risasi akiwa nyumbani kwake na watu wasiojulikana….

Read More

DKT. KIDA, NA MKUU WA IDARA YA AFRIKA MASHARIKI YA UHOLANZI WAKUTANA NA KUJADILI SHUGHULI ZA UBORESHAJI WA MAZINGIRA YA UWEKEZAJI NA BIASHARA

The Hague, Uholanzi. Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Dkt. Tausi Kida amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Idara ya Afrika Mashariki wa Uholanzi, Bi. Sanne Lowenhardt pamoja na Mshauri Maalum kuhusu Africa wa Wizara hiyo Bw. Melle Leenstra kuhusu uboreshaji wa Mazingira ya Uwekezaji na Biashara. Katika mazungumzo yao, Dkt. Kida…

Read More

MKUTANO WA JPCC KUJADILI USHIRIKIANO KATIKA NYANJA ZA KIMKAKATI WAANZA NCHINI MALAWI

Maafisa waandamizi wa Tanzania na Malawi wamekutana jijini Lilongwe, Malawi, katika kikao cha sita cha Tume ya Pamoja ya Kudumu ya Ushirikiano (JPCC), kujadili masuala ya kimkakati yanayolenga kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia, kijamii na kiuchumi kati ya mataifa hayo mawili. Kikao hicho, kilichoongozwa na wenyeviti wenza, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje…

Read More

Polisi yapokea vibanda maalumu kuboresha usalama barabarani

Dar es Salaam. Katika kuimarisha usalama barabarani, Kampuni ya Bima ya Milembe imekabidhi vibanda vitano maalumu vilivyoundwa kwa ajili ya askari wa usalama barabarani wa Jeshi la Polisi katika Kituo cha Polisi cha Oysterbay. Wakati wa hafla ya makabidhiano hayo, Ofisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Bima ya Milembe, Muganyizi Tibaijuka amesisitiza dhamira ya kampuni…

Read More

Wasira: Mtuamini tuendelee kuwaletea maendeleo

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema chama hicho kinafanya kazi kubwa ya kuleta mabadiliko ili kuwaletea maendeleo wananchi.Aidha, amesisitiza wananchi waendelee kukiamini na kukipa nafasi kiendelee kudumisha amani kwa kuwa maendeleo hayatapatikana iwapo itatoweka.Wasira ameeleza hayo alipokuwa akizungumza na viongozi na wanachama wa CCM kutoka Jimbo la Mbeya, akiwa…

Read More

Suzan Lyimo na kilio cha wazee kuachiwa wajukuu

Miaka ya hivi karibuni bibi na babu wamekuwa wakikwepa kuishi na wajukuu, huku baadhi ya sababu zikitajwa ni maisha kuwa magumu, lakini wenye watoto wao kushindwa kuwagharimia matumizi yao. Jambo hili linaungwa mkono na Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la Chadema (Bazecha), Susan Lyimo, ambaye hivi karibuni alifanya mahojiano na Mwananchi na kuzungumzia mambo mbalimbali…

Read More

Othman: Viongozi wapimwe kwa wanavyojali wananchi

Unguja. Mgombea wa urais wa Zanzibar, kwa tiketi ya Chama cha ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman amewataka Wazanzibari kuwapima viongozi kwa vigezo mbalimbali ikiwemo kujali maslahi ya wananchi anaowaongoza. “Mkitaka kupima kiongozi, mpime kwa kiasi hicho au kwa vigezo hivyo, maslahi makubwa ya wananchi ni haki katika nchi yao, ikifika mahali ukachukua haki ya mwananchi na…

Read More

Vodacom Tanzania Foundation Kufadhili Kongamano la Utafiti Elimu Tanzania 2025

Taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation imethibitisha tena dhamira yake ya kuboresha elimu nchini Tanzania kwa kuungana na Chuo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (CoICT) katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuunga mkono Kongamano la Utafiti Elimu Tanzania (UET) 2025.  Kongamano hilo, litakalofanyika katika Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Maruhubi Zanzibar kuanzia…

Read More