Sababu barafu kupungua Mlima Kilimanjaro – 1

Kilimanjaro. Desemba, 2024, nilipanda Mlima Kilimanjaro, ambao barafu yake inapungua kadri miaka inavyosonga. Sababu kubwa ikitajwa ni mabadiliko ya tabianchi, na baadhi ya watu wanahusisha na matukio ya moto mlimani. Safari ilianza Marangu ambako nilikatiza msitu wenye miti mingi ya asili (msitu mnene). Kulingana na msimu, kulikuwa na mvua. Kutoka Mandara, niliingia eneo la uwanda…

Read More

BENKI YA EQUITY YAJIDHATITI KURAHISISHA USAMBAZAJI SALAMA WA MBOGAMBOGA NA MATUNDA

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV Benki ya Equity Tanzania kwa kushirikiana na Taasisi ya Rikolto  pamoja na Motley wamekuja na Bajaji  ambazo zina chumba maalumu chenye ubaridi kwa ajili ya kuhifadhia mazao   ya mbogamboga na matunda  kwa lengo la kusaidia kuongeza thamani ya mazao hayo ili  kuepusha kuharibika wakati wa kuyasafirisha. Akizungumza leo Novemba 26,2024…

Read More

Mdee, wenzake 18 waanza mbinu kurejea tena bungeni

Dodoma. Joto la uchaguzi limeanza kupamba moto, huku baadhi ya wabunge 19 waliofukuzwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakionyesha mwelekeo wa wapi watakwenda katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025. Wabunge hao 19, akiwemo Halima Mdee, walivuliwa uanachama wa Chadema Novemba 27, 2020, wakituhumiwa kwa usaliti, kughushi nyaraka za chama kisha kujipeleka bungeni jijini…

Read More

Hapa kazi ipo | Mwanaspoti

UKISIKIA mtego ndio huu uliofanywa na mabilionea wa Simba na Yanga. Ndio, Yanga imesajili majembe ya maana kwa gharama kubwa ili kuimarisha kikosi. Bilionea Ghalib Said Mohammed ‘GSM’ kupitia uongozi wa klabu hiyo, amemsajili Clatous Chama kutoka Simba, amemvuta Prince Dube kutoka Azam kwa gharama kubwa. Amemleta Chadrak Boka kutoka DR Congo. Amembakisha Stephane Aziz…

Read More

Baadhi ya Wananchi Wameonyesha Kutokuwa na elimu ya kutosha ya upigaji kura kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa

Na Mwandishi Wetu Michuzi Tv BAADHI ya wananchi wameonyesha kutokuwa na elimu ya kutosha ya upigaji kura kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa unaendelea nchini kiasi cha kuomba msaada kwa wapiga kura wenzao na wasimamizi. Michuzi Tv mapema leo imeshuhudia baadhi ya wananchi wakihangaika kutafuta msaada wa kupiga kura katika vituo vya Tegeta Nyuki, Kopa…

Read More

Aliyekosa 200,000 ya matibabu sasa kufikishwa Muhimbili

Mbeya. Hatimaye, Pascolina Mgala alliyekuwa ameshindwa kutibiwa kwa kukosa Sh200,000, sasa atafikishwa katika Hospitali ya Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya matibabu zaidi. Hatua hiyo inatokana na uongozi wa Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe kuiona taarifa yake kupitia Gazeti la Mwananchi na hivyo kumsaidia kupata matibabu zaidi. Pascolina (20) mkazi wa Kijiji cha Nambinzo…

Read More

Kuhifadhi barafu – maswala ya ulimwengu

Glaciers katika SADC ni pamoja na zile zinazopatikana kwenye Mount Kilimanjaro (Tanzania), kwenye Milima ya Drakensberg (Afrika Kusini na Lesotho, pichani), kwenye Mafadi Peak (Afrika Kusini), na kwenye Maloti Range (Lesotho) na Ras de Gallo Range (Mozambique). Mikopo: Shutterstock. Maoni na Thokozani Dlamini (Pretoria, Afrika Kusini) Ijumaa, Machi 21, 2025 Huduma ya waandishi wa habari…

Read More

Makonda asisitiza amani uchaguzi Serikali za mitaa

Arusha. Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amewaomba viongozi wa dini mkoani hapa watumie nafasi zao kuhamasisha waumini kujitokeza katika uchaguzi wa  Serikali za mitaa na kuhakikisha amani inatawala. Amesema ili uchaguzi uende vizuri, uhuru na haki vinapaswa kuzingatiwa lakini lengo kuu likiwa ni kupata viongozi imara ambao ni nguzo muhimu za utatuzi wa…

Read More