Namungo inavyoanza msimu mpya 2025/26 na malengo makubwa

WAUAJI wa Kusini, Namungo walikuwa na kambi ya wiki mbili jijini Dodoma kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu, ambapo Mwanaspoti lilitinga kujionea namna nyota wa kikosi hicho wanavyojifua. Lakini, unaambiwa kazi haikuishia mazoezini tu, bali kuna mipango na mikakati mizito inasukwa kwa ajili ya kujenga upya ubora katika kupambania nembo ya…

Read More

Auawa kisa ushabiki wa dabi ya Simba, Yanga Songwe

Songwe. Jeshi la Polisi mkoani Songwe linamtafuta Evacery Mwaweza mkazi wa Kitongoji cha Ululu kiijiji cha Idiwili kata ya Idiwili wilayani Mbozi mkoani Songwe kwa tuhuma za kusababisha kifo cha Zabroni Mwambogolo (28) mkazi wa kitongoji hicho wakati wakiangalia mpira wa Simba na Yanga. Akizungumzia tukio hilo leo Jumatano Septemba 17,2025 Kamanda wa Polisi Mkoa…

Read More

Sura mpya Fountain Gate ikipambana upya Bara

MSIMU uliopita ilibaki kidogo Fountain Gate ishuke daraja, lakini ikanusurika baada ya kuichapa Stand United katika mechi za mtoano. Timu hiyo ilimaliza ligi katika nafasi ya 14, ikacheza mtoano wa kwanza dhidi ya Tanzania Prisons iliyomaliza ya 13, ikapoteza kwa jumla ya mabao 4-2 kwani nyumbani ilitoka 1-1, ugenini ikafungwa 3-1. Ilipoenda kukabiliana na Stand…

Read More

Askofu Mkuu Novatus Rugambwa Afariki Dunia – Global Publishers

Aliyekuwa Balozi wa Baba Mtakatifu (Vatican) katika nchi mbalimbali duniani, Mtanzania Askofu Mkuu Novatus Rugambwa Aliyekuwa Balozi wa Baba Mtakatifu (Vatican) katika nchi mbalimbali duniani, Mtanzania Askofu Mkuu Novatus Rugambwa, amefariki dunia usiku wa Septemba 16, 2025 huko Roma, Italia. Hayati Askofu Mkuu Novatus Rugambwa alizaliwa Oktoba 8, 1957 mkoani Kagera. Aliwekwa…

Read More

Misafara ya bodaboda kwenye mikutano ya kampeni yazua mjadala

Dar es Salaam. Wiki ya tatu ya kampeni za Uchaguzi Mkuu 2025 inapoyoyoma, taswira mpya imeendelea kujibainisha mitaani, vijana waendesha bodaboda wamegeuka kuwa injini ya hamasa na kivutio kikuu cha misafara ya kisiasa. Makundi haya yamekuwa yakionekana kwa wingi barabarani, pikipiki zao zikipambwa kwa bendera na mabango ya wagombea wakisindikiza misafara na mikutano kwa vuvuzela,…

Read More

Masista wanne waliofariki ajalini Mwanza kuzikwa Dar

Mwanza. Masista wanne waliopoteza maisha katika ajali ya gari jijini Mwanza wanatarajiwa kuzikwa Septemba 19, 2025, Boko, jijini Dar es Salaam, huku dereva wao akizikwa Nyegezi, Mwanza. Masista hao ambao ni Lilian Kapongo, aliyekuwa Mkuu wa Shirika la Masista Wakarmeli Wamisionari wa Mtakatifu Theresia wa Mtoto Yesu Duniani na aliyekuwa Mshauri Mkuu na Katibu Mkuu…

Read More

Pakistan hurejea kutoka mafuriko wakati mamilioni ya kuacha makazi – maswala ya ulimwengu

Zaidi ya watu milioni sita wameathiriwa tangu mvua zisizo za kawaida zisizo za kawaida zilianza mwishoni mwa Juni, na karibu maisha 1,000 yalipotea – 250 kati yao watoto. Karibu watu milioni 2.5 wamehamishwa, makazi mengi katika kambi zinazoendeshwa na serikali au na familia za mwenyeji ambao tayari wamewekwa kwenye kikomo chao. “Kutoka kwa shamba, tunaona…

Read More

Wataalamu wachambua utata bao la Pacome

BAO pekee lililofungwa na Pacome Zouzoua katika mechi ya Ngao ya Jamii kati ya Yanga na Simba kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, limezua mjadala mzito. Katika mjadala huo, upande mmoja unasema kulikuwa na mazingira ya mfungaji kuwa eneo la kuotea ambaye pia alicheza faulo kwa kumzuia beki wa Simba, Rushine De…

Read More