TANESCO RUVUMA YAWAFIKIA WANAFUNZI TUNDURU, YATOA ELIMU YA MATUMIZI YA UMEME
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Ruvuma limeendelea na zoezi la utoaji wa elimu kwa wateja kwa kuwafikia wanafunzi wa shule za msingi na sekondari Wilayani Tunduru, kwa lengo la kuwaelimisha kuhusu matumizi sahihi na salama ya umeme majumbani na shuleni. Katika ziara hiyo, TANESCO imetembelea shule mbalimbali ikiwemo Shule ya Msingi Muungano na…