Arusha Yaandika Historia Mpya ya Huduma za Saratani

Na Pamela Mollel, Arusha Mkoa wa Arusha umefungua ukurasa mpya katika sekta ya afya baada ya kuzinduliwa ujenzi wa Kituo cha Kisasa cha Huduma za Saratani katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha Mount Meru, mradi unaofadhiliwa na kampuni ya Spanish Tiles. Akizungumza wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi la kituo hicho, Waziri…

Read More

Vijana wakali waTehama kukumbatiwa kukuza uchumi

Dar es Salaam. Serikali imesema itaendelea kuwakumbatia na kuwaendeleza vijana wenye vipaji katika Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama),  ili kuchochea ukuaji wa uchumi wa kidijitali nchini, hususan katika kipindi ambacho matumizi ya teknolojia za kidijitali yanaendelea kushika kasi, ikiwemo akili unde (AI). Hatua hiyo inatekelezwa kupitia Tume ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (ICTC),…

Read More

Afya ya mtoto mtaji wa maendeleo ya taaluma

Dar es Salaam. Katika mjadala wa ufaulu wa wanafunzi, mara nyingi lawama hutupwa kwa mitalaa, walimu, miundombinu au nidhamu ya mwanafunzi. Masuala haya ni muhimu, lakini kuna jambo moja la msingi ambalo mara nyingi husahaulika au kupewa uzito mdogo kuliko linavyostahili: afya ya mwanafunzi. Afya ndiyo nguzo kuu ya maendeleo ya taaluma, na bila afya…

Read More

Usajili bima ya afya kwa wote kuanza na hawa

Dar/Mbeya. Utekelezaji wa Mpango wa Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote (Universal Health Insurance Act, 2023) umeanza rasmi jana, baada ya wakuu wa mikoa kote nchini kuanza kusimamia kazi ya usajili wa kaya masikini kama kundi la majaribio ya awali ya mfumo huo wa bima ya afya kwa wote. Jumla ya kaya 276,000 zimebainishwa…

Read More

Umoja wa Mataifa na wataalam wa haki zao wanaonya dhidi ya hatari ya vurugu kubwa huko Jonglei – Global Issues

UNMISS alielezea wasiwasi wake mkubwa kufuatia ripoti kwamba kiongozi mkuu wa kijeshi anawataka wanajeshi kufanya vurugu za kibaguzi dhidi ya raia, huku zaidi ya watu 180,000 wakikimbia makazi yao. “Kauli za uchochezi zinazodai unyanyasaji dhidi ya raia, pamoja na walio hatarini zaidi, ni za kuchukiza kabisa na lazima zikome sasa.,” Graham Maitland, Afisa Msimamizi, alisema…

Read More

Katakata CCM yashika kasi, yaibua mjadala

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa muda mrefu kimekuwa kikitekeleza utaratibu wa uteuzi wa wagombea wa ubunge na nafasi nyingine za uwakilishi kupitia kura za maoni, ambao mwisho wa mchakato huibua mjadala ndani na nje ya chama. Hali hiyo, iliyoainishwa wazi katika Katiba ya CCM, imejenga mjadala mpana kuhusu mizani kati ya demokrasia…

Read More