
Namungo inavyoanza msimu mpya 2025/26 na malengo makubwa
WAUAJI wa Kusini, Namungo walikuwa na kambi ya wiki mbili jijini Dodoma kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu, ambapo Mwanaspoti lilitinga kujionea namna nyota wa kikosi hicho wanavyojifua. Lakini, unaambiwa kazi haikuishia mazoezini tu, bali kuna mipango na mikakati mizito inasukwa kwa ajili ya kujenga upya ubora katika kupambania nembo ya…