PUMZI YA MOTO:  Simba, Aishi tatizo ni hili!

KIKOSI cha Simba kipo Misri kikijiandaa na msimu mpya wa 2024/25 bila kuwa na kipa namba moja kwa misimu takriban sita kabla ya ule uliopita, Aishi Manula. Kipa huyo ameachwa nyumbani kwa kile kinachodaiwa kwamba hayupo katika mipango ya timu, lakini mwenyewe inadaiwa kwamba hajaambiwa kitu. Manula anadaiwa kwamba anatamani kuondoka Msimbazi, lakini bado ana…

Read More

NCHIMBI AMALIZIA ‘KIPORO’ WAPINZANI MCHINGA

-Awapokea madiwani pekee wa CUF na ACT na wenzao mamia walioamua kujiunga CCM Katibu Mkuu wa CCM Taifa Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi leo Jumatano, 31 Julai 2024, akiwa mgeni rasmi kwenye Mkutano Mkuu wa Jimbo la Mchinga, kwa ajili ya kupokea taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020 – 2025, kutoka…

Read More

MSONDO NGOMA KUADHIMISHA MIAKA 60 GWAMBINA

Na.Khadija Seif, Michuziblog BENDI ya Msondo Ngoma yawaalika Mashabiki zake kuhudhuria Tamasha la Miaka 60 tangu kuanzishwa kwa bendi hiyo. Akizungumza na Wanahabari Leo Oktoba 04,2024 Jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa Kamati ya Tamasha hilo Said Kibiriti amesema bendi hiyo imekuwa Mfano wa kuigwa katika tasnia ya Muziki kutokana na kuhudumu kwa Miaka mingi…

Read More

ZAMU YA Dk. SAMIA KUSAKA KURA ZA CCM KAGERA

Na Diana Byera_Bukoba Mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM, Dk. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kufanya ziara ya kampeni mkoani Kagera tarehe 15 na 16 Oktoba 2025 kwa ajili ya kuomba ridhaa ya wananchi wa mkoa huo kumpigia kura katika uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2025. Akizungumza na waandishi wa habari Mjini Bukoba, Mwenyekiti wa…

Read More

Masai akiri Bara mziki mnene

NAHODHA wa Mtibwa Sugar, Oscar Masai amesema licha ya kupanda daraja wakitwaa taji la Championship wamekutana na ligi dume ambayo inawaamsha kujishikilia kabla ya kurudi walikotoka huku akitaja kuwa ujio wa kocha Yusuf Chippo utaongeza mbinu za kuiinua timu hiyo kiushindani. Mtibwa Sugar imerudi Ligi Kuu baada ya kuangukia Championship kwa msimu mmoja na tayari…

Read More

Simba yaendelea kukimbiza Azam | Mwanaspoti

Simba imeendelea kuifukuza Azam FC baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-1, dhidi ya Geita Gold kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliopigwa Uwanja wa Azam Complex. Ushindi huo umeifanya Simba kufikisha pointi 63 sawa na Azam ambayo imebaki juu nafasi ya pili kwa faida ya tofauti ya mabao ya kufunga na kufungwa ambapo…

Read More