TADB yatia saini Mkataba wa Makubaliano (MoU) na mchongotv

Katika hatua ya kihistoria kwa sekta ya kilimo nchini Tanzania,Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania @tadbtz imeingia Mkatabawa Makubaliano (MoU) wa Miaka Mitano (5) na MchongoTelevisheni, kituo cha kwanza na pekee kinachojikita kwenyekutoa Habari za Kilimo,Uvuvi na Mifugo katika Ukanda wa AfrikaMashariki na Kati, ambapo kituo hicho kimewashwa rasmi kwamara ya kwanza kupitia kisimbuzi cha…

Read More

Nyumba 76 za watumishi wa afya, zitakavyoboresha utoaji huduma

Unguja. Familia 76 zimepata makazi karibu na Hospitali ya Rufaa ya Abdalla Mzee, Kusini Pemba hatua inayotajwa kuongeza ufanisi wa kutoa huduma katika hospitali hiyo baada ya kuwaepusha wataalamu kutembea masafa marefu kwenda kutoa huduma. Nyumba hizo 76 zenye gharama ya Sh16.481 bilioni zimejengwa na Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China na kuikabidhi Serikali…

Read More

TBS HAKIKISHENI SOKO LA TANZANIA LINAKUWA NA BIDHAA BORA

:::::::::: WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameutaka uongozi wa Shirika la Viwango Tanzania kutokuwa na huruma na bidhaa zisizokuwa na ubora kwani Serikali inataka soko la Tanzania liwe na bidhaa bora, salama na zenye kuleta tija kwa mlaji na kwa uchumi. Amewataka wazalishaji wa bidhaa na huduma, wahakikishe wanazingatia taratibu za vipimo, uthibitishaji wa ubora, na…

Read More

Faida, hasara minyukano ya vigogo Chadema

Dar es Salaam. Minyukano ya viongozi na wanachama wa Chadema wanaomuunga mkono Mwenyekiti wao Freeman Mbowe na wanaomuunga mkono Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu, imetafsiriwa kwa sura mbili tofauti. Sura ya kwanza imetajwa kuwa mbaya inayolenga kukibomoa chama hicho, huku wengine wakiamini kuwa minyukano hiyo inathibitisha uwazi na kuwakumbusha viongozi kwamba hakuna siri…

Read More

AMRI NA NOTISI YA MGAWANYO WA MAENEO YA KIUTAWALA KATIKA SERIKALI ZA MITAA YATAJWA IKIWEMO TARAFA YA LOLIONDO

Waziri Wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za mkoa na Serikali za Mtaa Mohamed Mchengerwa akizungumza na waandishi wa habari mapema leoMkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda akimkaribisha Mhe. Mchengerwa huku akimtaja kama kiongozi anayefikika na mwenye umahiri mkubwa katika kuwatumikia wananchi.Baadhi ya Wa kuu Wa wilaya za mkoa Wa Arusha wakiwa…

Read More

Yanga yafanya uamuzi mgumu kwa Lomalisa, Kibabage

UONGOZI wa klabu ya Yanga umefanya uamuzi mgumu kwa nyota wake wawili wa nafasi ya ulinzi ya beki ya kushoto, Joyce Lomalisa Mutambala na Nickson Kibabage kwa kumbakisha kikosini staa huyo wa zamani wa Mtibwa Sugar ambaye anacheza kwa mkopo kutokea Singida Fountain Gate akichukua nafasi ya Mcongo huyo anayetimka mwisho wa msimu. Kibabage alikuwa…

Read More

Kupaa kwa bei ya samaki kwamwibua mbunge, ajibiwa

Dodoma. Serikali ya Tanzania imesema mapendekezo ya kupunguza tozo na kodi za uingizaji wa samaki kutoka nje ya nchi yatafanywa kulingana na matokeo ya tathmini itakayofanywa na Kamati ya Maboresho ya Mfumo wa Kodi. Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Hassan Chande ameyasema hayo leo Jumatano Aprili 9, 2025 wakati akijibu swali la msingi la Mbunge…

Read More

WIKI YA AZAKI 2025 KUKUTANISHA WADAU ZAIDI YA 500

Kuelekea katika wiki hiyo, Mkurugenzi Mtendaji  wa FCS Justice Rutenge amewahimiza wananchi  kupaza sauti zao kwa kutoa maoni yatakayopelekea kupata dira bora kwa maendeleo ya jamii na taifa kwa ujumla. Rutenge amesema hayo Dar es Saalam  wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Asasi za Kiraia (AZAKI) 2025,  ambapo zaidi ya washiriki 500 wanatarajiwa kushiriki na…

Read More