SERIKALI YAIMARISHA TAFITI, MATUMIZI YA TEHAMA SEKTA YA AFYA
Na WAF – Uingereza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kuimarisha juhudi za kukuza utafiti na ubunifu katika sekta ya afya ili kukabiliana na changamoto za ongezeko la magonjwa yasiyoambukiza (NCDs) pamoja na magonjwa ya kuambukiza. Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe amesema hayo leo Machi 16, 2026 jijini London wakati akiwasilisha…