
Masista wanne waliofariki ajalini Mwanza kuzikwa Dar
Mwanza. Masista wanne waliopoteza maisha katika ajali ya gari jijini Mwanza wanatarajiwa kuzikwa Septemba 19, 2025, Boko, jijini Dar es Salaam, huku dereva wao akizikwa Nyegezi, Mwanza. Masista hao ambao ni Lilian Kapongo, aliyekuwa Mkuu wa Shirika la Masista Wakarmeli Wamisionari wa Mtakatifu Theresia wa Mtoto Yesu Duniani na aliyekuwa Mshauri Mkuu na Katibu Mkuu…