WAALIMU WAISHUKURU SERIKALI KWA KUTHAMINI UTENDAJI KAZI WAO
Na Mwandishi wetu WALIMU wameipongeza na kuishukuru Serikali kwa kuthamini utendaji Kazi wao unaoleta matokeo chanya ya ufaulishaji kwa wingi Wanafunzi. Hayo yamejili Leo Jumatatu 26 Januari 2026 kwenye tukio la kuwapongeza Waalimu wa Shule ya Msingi Nanditi iliyopo Kata ya Chikunja. “Sisi Waalimu tunaipongeza na kuishukuru Serikali inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano…