Panga pangua ya Samia | Mwananchi

Dar es Salaam. Rais  Samia Suluhu Hassan ameendelea kuimarisha safu yake ya utendaji kwa kufanya uteuzi viongozi na kupanga vituo vipya kwa balozi, hatua inayolenga kuongeza ufanisi wa taasisi za umma pamoja na kuimarisha mahusiano ya kimataifa. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Machi 18,2025  na Katibu Mkuu Kiongozi, Moses Kusiluka, mabadiliko hayo yanagusa maeneo…

Read More

Rais Samia Afanya Uteuzi wa Viongozi wa Kibalozi na Taasisi

Global Publishers March 18, 2026 0 Comments Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi katika nafasi mbalimbali za kibalozi na taasisi, ikiwa ni sehemu ya kuimarisha utendaji wa serikali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Bakari S. Machumu, uteuzi huo unahusisha viongozi…

Read More

FYATU MFYATUZI: Fyatu anapomkumbuka Fyatu Joni Kanywaji Makufuli

Najua unanisikia hata kama hutanijibu. Katika kumbukizi hili, mafyatu wenzako tunakukumbuka kinamna. Wapo wanaokulilia na wanaoshangilia kutegemea na hali. Leo, sitachonga sana bali kufyatuka. Kwanza, wasalimiwa na mafyatu wako wote na wananzengo. Tunakumiss kifyatu. Pili, pole kwa sababu, kama ulivyokuwa ukisema, kuna mafyatu utawashangaa. Ungerudi, ungejinyotoa roho namna mambo yalivyovurugika. Mfano, mafyatu na majipu uliyokuwa…

Read More

SHINYANGA KUPAA KIUCHUMI KUPITIA KIWANJA CHA NDEGE: ULEGA

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema kukamilika kwa mradi wa upanuzi wa Kiwanja cha Ndege cha Shinyanga kunatarajiwa kuchochea shughuli za kibiashara na uwekezaji, hatua itakayosaidia kuimarisha muunganiko wa kiuchumi kati ya mkoa huo na mikoa jirani. Ulega ametoa kauli hiyo mkoani Shinyanga mara baada ya kukagua maendeleo ya mradi huo na kueleza kuridhishwa na…

Read More

VIJANA WANAGENZI KIGAMBONI WAANZA KUNG’ARA KATIKA MAKAMPUNI MAKUBWA NCHINI

Na. OWM- KAM,Dar es Salaam Programu ya Taifa ya Kukuza Ujuzi nchini imeanza kuonyesha matokeo ya dhahiri kwa vitendo baada ya idadi kubwa ya vijana waliopata mafunzo katika Chuo cha Maendeleo ya Wananchi (FDC) Kigamboni kufanikiwa kupata ajira katika makampuni makubwa na taasisi za kimkakati hapa nchini.  Mafanikio hayo yamethibitika kufuatia ufuatiliaji uliofanyika kwa wahitimu…

Read More