Masista wanne waliofariki ajalini Mwanza kuzikwa Dar

Mwanza. Masista wanne waliopoteza maisha katika ajali ya gari jijini Mwanza wanatarajiwa kuzikwa Septemba 19, 2025, Boko, jijini Dar es Salaam, huku dereva wao akizikwa Nyegezi, Mwanza. Masista hao ambao ni Lilian Kapongo, aliyekuwa Mkuu wa Shirika la Masista Wakarmeli Wamisionari wa Mtakatifu Theresia wa Mtoto Yesu Duniani na aliyekuwa Mshauri Mkuu na Katibu Mkuu…

Read More

Pakistan hurejea kutoka mafuriko wakati mamilioni ya kuacha makazi – maswala ya ulimwengu

Zaidi ya watu milioni sita wameathiriwa tangu mvua zisizo za kawaida zisizo za kawaida zilianza mwishoni mwa Juni, na karibu maisha 1,000 yalipotea – 250 kati yao watoto. Karibu watu milioni 2.5 wamehamishwa, makazi mengi katika kambi zinazoendeshwa na serikali au na familia za mwenyeji ambao tayari wamewekwa kwenye kikomo chao. “Kutoka kwa shamba, tunaona…

Read More

Wataalamu wachambua utata bao la Pacome

BAO pekee lililofungwa na Pacome Zouzoua katika mechi ya Ngao ya Jamii kati ya Yanga na Simba kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, limezua mjadala mzito. Katika mjadala huo, upande mmoja unasema kulikuwa na mazingira ya mfungaji kuwa eneo la kuotea ambaye pia alicheza faulo kwa kumzuia beki wa Simba, Rushine De…

Read More

Hali ilivyo maandalizi ya mazishi ya miili mitano ya familia moja iliyofariki ajalini Pwani

Tanga. Maandalizi ya mazishi ya miili mitano ya watu wa familia moja waliofariki dunia kwenye ajali ya gari Septemba 13, mkoani Pwani yanaendelea mkoani Tanga, ambapo ibada itafanyika katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), lililopo Donge. Akizungumza na Mwananchi kwenye eneo la msiba uliopo maeneo ya Magaoni jijini Tanga leo Jumatano Septemba 17,2025…

Read More

Bajana aipa ujanja Azam FC

KIUNGO wa zamani Azam FC, Sospeter Bajana ameipa ujanja timu hiyo akisema kwa kikosi ilichonacho kama itazingatia mambo makubwa mawili kutoka kwa kocha Florent Ibenge, basi itafanya maajabu msimu huu. Bajana aliyeitumikia timu hiyo mfululizo kwa miaka 15, alisitishiwa mkataba wa mwaka mmoja uliosalia Azam wiki chache zilizopita na msimu unaoanza 2025/26 ataichezea JKT Tanzania….

Read More

Hizi zitapigwa sana na jua Ligi Kuu 2025/26

RATIBA ya Ligi Kuu Bara 025-2026 imetoka ambapo pazia litafunguliwa kesho, Septemba 17, 2025 kwa KMC kuikaribisha Dodoma Jiji saa 10:00 jioni huku Coastal Union ikipambana na Tanzania Prisons saa 1:00 usiku. Mwanaspoti linakuletea timu zitakazokuwa na mechi nyingi saa 8:00 mchana zikiwemo Mashujaa, Tanzabia Prisons, KMC, Mbeya City, Pamba Jiji, Tabora United, Namungo na…

Read More

Ligi Kuu Bara 2025/26 hawa kazi wanayo!

MSIMU mpya wa Ligi Kuu Bara wa 2025-2026 unaanza leo ukiwa ni wa 62 tangu ilipoanza 1965. Kila timu kati ya 16 zinazoshiriki zinaanza hesabu mpya kuwania pointi 90 kupitia mechi 30 kila moja, kukiunda na jumla ya mechi 240 kwa msimu mzima. Klabu zinazoshiriki ni watetezi Yanga, Simba, Azam, Singida Black Stars, Tabora United,…

Read More

Bado Watatu – 31 | Mwanaspoti

NIKAUFUNGA ule mlango wa stoo. Tukaenda kukaa sebuleni.“Sasa nataka nikwambie kitu cha mwisho,” baba akaniambia, na kuongeza: “Hatujui nini kitatokea, lakini endapo utakamatwa, usikubali kuwa marehemu alikuja kwako kabla ya kuuawa. Hilo jambo likatae kabisa. Na hata kama namba za gari lako zitatajwa, pia usikubali wewe ndiye uliyekwenda kuitupa maiti yake. Sema namba za gari…

Read More

Uzuri wa Tanzania Kupitia Sanaa, Vivo Energy Yazindua mashindano ya Awamu ya pili kwa shule za Sekondari na Vyuo nchini

Katibu Mtendaji, Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Dkt. Kedmon Mapana katikati akizungumza na wanafunzi wa shule ya Sekondari Jangwani wakati wa uzinduzi wa mashindano ya Sanaa ya Uchoraji kuelezea uzuri wa Tanzania, uzinduzi huo umefanyika jijini Dar es Salaam Septemba 16, 2025. Wnafunzi wa shule ya Sekondari Jangwani wakionesha utaalamu wao katika kuelezea uzuri…

Read More