Sugu arejesha fomu akitaja vipaumbele vitatu kuimarisha Chadema Kanda ya Nyasa

Mbeya.  Mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi maarufu ‘Sugu’ ametaja sababu zilizomvuta kuwania kiti hicho, huku akitaja vipaumbele vitatu kati ya 10 atakavyotekeleza akishinda. Sugu aliyewahi kuwa mbunge wa Mbeya Mjini anawania kiti hicho sambamba na mbunge wa zamani wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter…

Read More

SHIRIKA LA KICHEKO AFRICA FOUNDATION LATOA MAFUNZO YA AFYA YA AKILI KWA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

Na Mwandishi wetu SHIRIKA la Kicheko Africa Foundation limetoa mafunzo ya Afya ya Akili (Mental Health) kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya Elimu ya Juu ili kuwajengea msingi Bora wakujitambua na kuepukana na magonjwa yanayosababishwa na matarajio na tofauti wanazokutana nazo Chuoni. Akifungua Mafunzo hayo yaliyofanyika katika Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM) Makamu…

Read More

Waandamanaji wampinga Maduro, Venezuela | Mwananchi

Caracas. Kufuatia matokeo ya uchaguzi yaliyompa ushindi Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro, maelfu ya wananchi wameyapinga na kuzua vurugu katika Jiji la Caracas. Hasira za umma ziliongezeka baada ya Baraza la Taifa la Uchaguzi (CNE) Jumatatu kutangaza rasmi kuwa, Maduro alichaguliwa tena na wapiga kura wengi kuwa Rais kwa muhula mwingine wa miaka sita (2025-2031),…

Read More

TCB yaahidi kuwezesha wakulima kuuza mazao Ulaya, Marekani

  BENKI ya Biashara ya Tanzania (TCB) imesema itaendelea kuunga mkono juhudi za serikali kwa kuhakikisha wakulima wadogo na wa kati kupata mikopo itakayowawezesha kuzalisha kwa tija mazao yao na kuyaongezea thamani yaweze kuuzwa ndani na nje ya nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Da es Salaam … (endelea). TCB imesema katika mkakati wake wa kupanua wigo…

Read More

MAGIC JOHNSON: Kinara asisti fainali NBA

INDIANA, MAREKANI: KATIKA ulimwengu wa mpira wa kikapu kuna usemi maarufu unaosema “mpira unapita haraka kuliko mchezaji.” Hii inaashiria umuhimu wa pasi sahihi katika kuongoza timu kupata ushindi. Katika NBA, hasa kwenye hatua ya fainali kila mpira unaopitishwa kwa usahihi na kusababisha pointi ni mchango mkubwa unaoweza kuamua hatima ya taji. Wakati wengi huangalia wachezaji…

Read More

Meridianbet Watoa Msaada wa Mashuka kwa Hospitali ya Ndumbwi

SIKU ya leo Novemba 28, 2025 Meridianbet imeendelea kuthibitisha kuwa biashara inaweza kuwa daraja la matumaini kwa jamii. Kampuni hiyo imetoa mashuka mapya kwa Hospitali ya Ndumbwi, tukio lililoonesha kuwa uwekezaji katika ustawi wa jamii ni sehemu ya utamaduni wao. Katika hafla ya kukabidhi msaada huo, Afisa Habari wa Meridianbet, Nancy Ingram, alisisitiza kuwa kampuni…

Read More

Wadau waeleza chanzo, suluhu ya mikopo kashausha damu

Dar es Salaam. Wakati wimbi la mikopo kausha damu likiendelea kutawala nchini, wadau wa masuala ya uchumi wameshauri jitihada za makusudi zinapaswa kuchukuliwa ikiwemo elimu ya mikopo ili kuwanusuru wananchi wanaoumizwa. Wadau hao wanatoa ushauri huo kipindi ambacho Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imekwishabainisha mwarobaini unaozuia mkopeshaji kuingia kwenye namba za simu za mteja. Aidha,…

Read More

WIKI YA HUDUMA ZA FEDHA KUFUNGUA FURSA ZA UCHUMI

Na Farida Ramadhani na Joseph Mahumi, WF, Mbeya Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na Wasimamzi wa Sekta ya Fedha nchini, imeandaa Maadhimisho ya Nne ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa jijini Mbeya ili kuwawezesha wananchi kupata uelewa wa masuala ya fedha. Maadhimisho hayo yanayofanyika katika Viwanja vya Ruanda-nzovwe Jijini Mbeya yanalenga kutoa elimu kwa…

Read More