Beki Namungo aaga akihusishwa Simba

BAADA ya sintofahamu kama aliyekuwa beki wa Namungo, Antony Mligo anaweza kujiunga na Simba dirisha hili kutokana na kuwa na mkataba na waajiri wake sasa ni rasmi amethibitisha kuwa ni Mnyama baada ya kuaga. Simba iliiomba Namungo kumtazama mchezaji huyo kabla ya kumsajili jambo ambalo lilifanyika na sasa ni rasmi nyota huyo ataitumikia Simba msimu…

Read More

Masomo kutoka Korea – Masuala ya Ulimwenguni

Maombi ya amani katika mpaka wa Kikorea.credit: Greenburd/Shutterstock.com Maoni na Stein Tonnesson Jumatatu, Aprili 07, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Aprili 07 (IPS) – Makubaliano ya Armistice ambayo yalimaliza Vita vya Kikorea mnamo 1953 yametajwa kama mfano unaowezekana wa jinsi ya kumaliza mapigano huko Ukraine. Hii ina maana. Utawala wa Trump, hata hivyo, unaonekana…

Read More

Karibuni katika banda la Wizara ya Afya katika Maonyesho ya Nane Nane 2024 yanayoendelea kufanyika katika Viwanja vya Nane nane hapa Nzunguni Dodoma.

  Katika Banda la Wizara ya Afya huduma mbalimbali zinatolewa kuanzia Elimu ya Afya, Huduma za Uchunguzi wa Magonjwa, Chanjo dhidi ya Homa ya ini, Uviko 19, pamoja na Chanjo dhidi ya Saratani ya Mlango wa Shingo ya Kizazi kwa wanawake Katika dawati letu la elimu na uhamasishaji tuna wataalam wa masuala ya Afya ya…

Read More

UEFA Nations League kutoa mkwanja leo

  Michuano ya Uefa Nations League itaendelea leo na mikwanja itaendelea kutoka kwakua itakwenda kupigwa michezo mikali ambayo itakuwezesha kupiga mkwanja wa kutosha kupitia Meridianbet. Kipindi hiki ambacho ligi zimesimama chimbo pekee ambalo limewafanya watu wasikae kinyonge ni michuano ya Uefa Nations ambapo wadau wanaendelea kunyakua vitita kupitia michuano hii. Baada ya kushinda michezo yao…

Read More

BENKI YA DUNIA KUJENGA MRADI WA NJIA YA KUSAFIRISHA UMEME WA KV 400 KUTOKA UGANDA HADI TANZANIA

::::::::: ** *📌Yakutana na Mhandisi Mramba kueleza uamuzi huo baada ya kujiridhisha kuwa hauna athari kimazingira* *📌Yaialika Wizara ya Nishati kushiriki Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa jijini New York* *📌Mramba aahidi kuendelea kushirikiana na Benki ya Dunia utekelezaji miradi ya Nishati* Benki ya Dunia (WB) imeeleza kuwa itatoa fedha za utekelezaji wa mradi wa…

Read More