Mkakati kulinda Ziwa Tanganyika na Victoria

Kigoma. Mamlaka ya Ziwa Tanganyika (LTA) imesaini mkataba wa ushirikiano na Tume ya Bonde la Ziwa Victoria (LVBC), kwa ajili ya kubadilishana uzoefu wa jinsi ya kudhibiti rasilimali za maji, kilimo, sekta ya uchukuzi, kuunganisha shughuli za kiuchumi na maisha ya watu wanaozungukwa na maziwa hayo. Akizungumza leo Februari 25, 2026 mjini Kigoma, baada ya…

Read More

Pamba Jiji yamkomalia beki Azam FC

BAADA ya beki wa kati wa matajiri wa Jiji la Dar es Salaam Azam FC, Abdallah Kheri ‘Sebo’, kukitumikia kikosi cha Pamba Jiji kwa mkopo wa miezi sita msimu wa 2024-25, mabosi wa timu hiyo wanafanya mazungumzo ya kumsajili moja kwa moja. Awali, uongozi wa Azam ulimtoa nyota huyo kwa mkopo kwenda Fountain Gate katika…

Read More

Kanisa Anglikana Mbagala kufungisha ndoa za pamoja

Dar es Salaam. Kanisa Anglikana la Mtakatifu Msalaba Mbagala jijini Dar es Salaam, limetangaza mpango wa kufungisha ndoa za pamoja Aprili 1, 2026 kwa waumini wanaoishi na wenza wao bila kufunga ndoa takatifu. Mpango huo umetangazwa leo Machi 1, 2026 na Mchungaji wa Kanisa Anglikana Mtakatifu Msalaba Mbagala, Rogers Mshuza wakati wa mahubiri yake ya…

Read More

Kesi za wabunge Chato zaahirishwa, watuhumiwa wakwama kufika mahakamani

Geita. Kesi mbili zinazowakabili wabunge wawili wa majimbo ya Chato na baadhi ya madiwani, zimeahirishwa baada ya watuhumiwa kushindwa kufika mahakamani kwa sababu mbalimbali. Kesi hizo zinazowahusu Mbunge wa Chato Kusini, Paschal Lutandula na Mbunge wa Chato Kaskazini, Cornel Magembe pamoja na madiwani wanne akiwemo aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato, Bathoromeo Manunga,…

Read More