Mapambano ya uvuvi haramu yazikutanisha nchi tatu Zanzibar

Unguja. Wataalamu wa masuala ya bahari kutoka Tanzania, Kenya na Mauritius wamekutana Zanzibar kuweka mikakati ya pamoja ya kukabiliana na changamoto ya uvuvi haramu, wakisisitiza umuhimu wa ushirikiano wa kikanda badala ya kila nchi kufanya jitihada zake kivyake. Mkutano huo wa siku tatu unaofanyika Unguja umewakutanisha wataalamu wa bahari, watunga sera na wadau wa sekta…

Read More

Pacha walioungana wapelekwa Saudi Arabia kutenganishwa

Dar es Salaam. Pea mbili za watoto pacha walioungana, Lightness na Loveness Luhende (1/5) pamoja na Nancy na Nice Sospeter (1/4), wameondoka kuelekea nchini Saudi Arabia kwa ajili ya matibabu ya kutenganishwa. Pacha hao wanapelekwa leo Jumatatu, Januari 26, 2026 kwa matibabu hayo, baada ya kuwa chini ya uangalizi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH),…

Read More

Rais Ouattara amteua mdogo wake kuwa naibu waziri mkuu

Dar es Salaam. Rais wa Ivory Coast, Alassane Ouattara amemteua mdogo wake, Tene Ouattara kushika wadhifa mpya ulioundwa wa naibu waziri mkuu. Hatua hiyo imepokelewa kwa mitazamo tofauti nchini humo, ikitafsiriwa kama sehemu ya mabadiliko makubwa ya kisiasa ndani ya serikali yake. Uteuzi huo uliofanyika Ijumaa ya Januari 23, 2026 ni mabadiliko ya baraza la…

Read More

Demokrasia kwa Jina Pekee – Masuala ya Ulimwenguni

Credit: Abubaker Lubowa/Reuters kupitia Gallo Images Maoni na Inés M. Pousadela (montevideo, urugwai) Jumatatu, Januari 26, 2026 Inter Press Service MONTEVIDEO, Uruguay, Januari 26 (IPS) – Wakati Waganda walipopiga kura tarehe 15 Januari, matokeo hayakuwa na shaka. Upigaji kura ulipoanza, huduma za mtandao wa simu za mkononi zilisimama, na kuhakikisha uchunguzi mdogo huku Rais Yoweri…

Read More