SENEGAL YAVULIWA UBINGWA AFCON 2025, MOROCCO YATANGAZWA MSHINDI
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV SHIRIKISHO la Mpira Barani Afrika kupitia bodi ya (CAF,) imeamua kwamba Senegal wamefanikiwa “kujitoa mchezoni” (forfeit) na hivyo Morocco kutangazwa washindi wa michuano kwa ushindi wa 3-0 kwa mujibu wa sheria za mashindano. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na CAF na kuzua mijadala imeeleza kuwa Senegal walikiuka Kifungu cha 82…