SHINYANGA KUPAA KIUCHUMI KUPITIA KIWANJA CHA NDEGE: ULEGA

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema kukamilika kwa mradi wa upanuzi wa Kiwanja cha Ndege cha Shinyanga kunatarajiwa kuchochea shughuli za kibiashara na uwekezaji, hatua itakayosaidia kuimarisha muunganiko wa kiuchumi kati ya mkoa huo na mikoa jirani. Ulega ametoa kauli hiyo mkoani Shinyanga mara baada ya kukagua maendeleo ya mradi huo na kueleza kuridhishwa na…

Read More

VIJANA WANAGENZI KIGAMBONI WAANZA KUNG’ARA KATIKA MAKAMPUNI MAKUBWA NCHINI

Na. OWM- KAM,Dar es Salaam Programu ya Taifa ya Kukuza Ujuzi nchini imeanza kuonyesha matokeo ya dhahiri kwa vitendo baada ya idadi kubwa ya vijana waliopata mafunzo katika Chuo cha Maendeleo ya Wananchi (FDC) Kigamboni kufanikiwa kupata ajira katika makampuni makubwa na taasisi za kimkakati hapa nchini.  Mafanikio hayo yamethibitika kufuatia ufuatiliaji uliofanyika kwa wahitimu…

Read More

Mtihani wa makipa wazawa | Mwanaspoti

KIPA wa Mashujaa FC, Patrick Munthali ndiye aliyekuwa kinara wa clean sheet akifikisha 12 kwa wazawa msimu uliopita Ligi Kuu Bara, ambapo amezungumzia ugumu wa kuifikia rekodi hiyo. Munthali amesema alipata na majeraha, hivyo katika mechi sita dhidi ya Singida Black Stars, Pamba Jiji, Simba, KMC na Tanzania Prisons ndizo alipata cleansheets moja anayomiliki msimu…

Read More

Asukile atoa matumaini mapya Prisons

PAMOJA na kukiri kuwa na matokeo yasiyoridhisha, Nahodha wa zamani wa Tanzania Prisons, Benjamin Asukile amesema bado ni mapema kuikatia tamaa timu hiyo, huku akiwatwisha zigo wakongwe na mastaa wa kikosi hicho kukaza kukwepa aibu ya kushuka daraja. Asukile aliyeitumikia Prisons kwa takribani miaka 11 kisha kuvishwa gwanda la Magereza, kwa sasa anahudumu kwenye benchi…

Read More

JKT Tanzania yakomaa na mambo manne

KATIKA kipindi hiki kirefu ambacho JKT Tanzania haina mechi ya mashindano, kocha mkuu wa kikosi hicho, Ahmad Ally ameweka wazi mpango wao kuhakikisha hawatoki kwenye mstari. Katika mpango huo, kocha huyo ametaja mambo manne anayokomaa nayo kuwa ni uimara wa mwili, ubora wa kiufundi, mbinu na mifumo ya uchezaji, pamoja na utayari wa kisaikolojia. Akizungumza…

Read More

Nyota Coastal Union kimeeleweka | Mwanaspoti

STRAIKA wa Coastal Union, Abdulkarim Segeja, amesema licha ya kuanza vibaya msimu huu, lakini kwa sasa timu imeonesha mabadiliko na mechi zilizobaki mkakati wao ni kutopoteza pointi. Coastal Union iliyowahi kutwaa ubingwa mwaka 1988 wakati inaitwa Ligi Daraja la Kwanza kabla ya sasa kufahamika Ligi Kuu Bara, inakumbukwa pia kushuka daraja msimu wa 2015-2016 ikiwa…

Read More