Bado Watatu – 31 | Mwanaspoti

NIKAUFUNGA ule mlango wa stoo. Tukaenda kukaa sebuleni.“Sasa nataka nikwambie kitu cha mwisho,” baba akaniambia, na kuongeza: “Hatujui nini kitatokea, lakini endapo utakamatwa, usikubali kuwa marehemu alikuja kwako kabla ya kuuawa. Hilo jambo likatae kabisa. Na hata kama namba za gari lako zitatajwa, pia usikubali wewe ndiye uliyekwenda kuitupa maiti yake. Sema namba za gari…

Read More

Uzuri wa Tanzania Kupitia Sanaa, Vivo Energy Yazindua mashindano ya Awamu ya pili kwa shule za Sekondari na Vyuo nchini

Katibu Mtendaji, Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Dkt. Kedmon Mapana katikati akizungumza na wanafunzi wa shule ya Sekondari Jangwani wakati wa uzinduzi wa mashindano ya Sanaa ya Uchoraji kuelezea uzuri wa Tanzania, uzinduzi huo umefanyika jijini Dar es Salaam Septemba 16, 2025. Wnafunzi wa shule ya Sekondari Jangwani wakionesha utaalamu wao katika kuelezea uzuri…

Read More

Samia kunadi sera Makunduchi  | Mwananchi

Unguja. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan kesho atafanya mkutano wa kwanza wa kampeni kisiwani Unguja, Zanzibar. Samia ambaye ameteuliwa kupeperusha bendera ya CCM kwenye nafasi hiyo akiwa mwanamke wa kwanza, ataomba kura kwenye ardhi ya Zanzibar ambako ndipo lilipo chimbuko lake. Taarifa…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Rais ajaye anapaswa kujua haya

Kila rika huwa na mitindo yake ya maisha. Wakati fulani nilishuhudia wazee wetu wakivaa suruali pana na mashati ya kubana, wajomba na baba wadogo wakavaa mashati makubwa na suruali za kubana, sisi tuliokuwa wadogo tukavalishwa mitindo kwa kutegemea anayekuvalisha. Tuliweza kujuana kuwa huyu kavalishwa shati la “puto” na mjomba au “slim fit” na baba yake….

Read More

Mwabukusi analipia gharama ya mguu alioingilia TLS

Stadi ya sayansi ya siasa, inathibitisha kuwa vyama vya upinzani hunufaika kupitia migogoro na serikali, kuliko maelewano. Tutapitia kazi ya mwanazuoni Elias Koch, kutoka Shule ya Hertie, iliyopo Berlin, Ujerumani. Shule ya Hertie ni taasisi inayoshughulika na utafiti, midahalo ya utawala bora na masuala ya umma, Ujerumani na Ulaya. Kazi ya Koch ilichapwa Agosti Mosi,…

Read More

Askofu Novatus Rugambwa afariki dunia Roma

Askofu Mkuu, Novatus Rugambwa, Mtanzania aliyewahi kuhudumu kama Balozi wa Baba Mtakatifu katika nchi mbalimbali duniani amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu huko Roma, Italia. Askofu Mkuu Rugambwa amefariki dunia usiku wa Septemba 16, 2025 akiwa Roma,  alikokuwa akiishi baada ya kustaafu utumishi wake wa kidiplomasia. Askofu huyo alizaliwa Oktoba 8, 1957 mkoani Kagera na kuwekwa…

Read More

Wahamiaji wa Venezuela wanaendesha faida za kiuchumi huko Ecuador lakini wanakabiliwa na udhaifu unaoendelea – maswala ya ulimwengu

“Ushahidi uko wazi: Wakati wahamiaji wanapata haki na fursa, wanachangia sana kwa jamii zinazowakaribisha,“Alisema Kristina Mejo, mkuu wa shirika hilo huko Ecuador. Venezuelans kwa sasa ni karibu 441,000 katika Ecuador, na kaya zinalipa karibu dola milioni 47 kwa ushuru kila mwaka. Mchango wao umewezeshwa na sera za umma ambazo ziliboresha michakato ya nyaraka, kupanua upatikanaji…

Read More

Nafasi ya Kutusua na Meridianbet Ipo Hapa

LEO hii Jumanne Mechi za UEFA za kwanza zinaanza huku kila timu ikitaka kuonesha ubabe wake mbele ya mwenzake kwa kushinda. ODDS KUBWA zipo sasa ingia kwenye akaunti yako na uibuke bingwa. Michuano ya UEFA kuanza leo ambapo mapema kabisa vijana wa Mikel Arteta Arsenal watakuwa ugenini kusaka nafasi ya ushindi dhidi ya Athletic Bilbao…

Read More

Aviator Kuwasha Moto Meridianbet, Wachezaji Kupewa Simu Mpya

KATIKA mwezi huu wa Septemba, Meridianbet imechochea ari ya ushindani kwa kuzindua kampeni ya kipekee inayowapa wachezaji wake nafasi ya kushinda simu mpya za Samsung A25 kila wiki. Kupitia mchezo wa Aviator, wachezaji sasa si tu wanaburudika, bali pia wanawania zawadi za kifahari kwa kila dau wanaloweka. Kuanzia tarehe 1 hadi 30 Septemba 2025, Meridianbet…

Read More