TRC kuongeza safari treni ya SGR Dar -Morogoro

Dar es Salaam. Shirika la Reli Tanzania limetangaza ongezeko la safari za treni ya kisasa (SGR) zitakazohusisha kuanza kwa treni mpya ya mwendo kasi (Express train) kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro bila kusimama vituo vya kati. Ratiba iliyotolewa inaonyesha kutakuwa safari nane kwa siku na treni hizo zitakuwa zinapishana kwa takribani dakika 20 kati…

Read More

WAZIRI SIMBACHAWENE AIPONGEZA TARURA KUFUNGUA BARABARA KWENYE MILIMA MIKALI KATA YA MANG’ALIZA

Na. Catherine Sungura, Kibakwe Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene ameishukuru na kuipongeza Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa kuanza kujenga barabara za zege kwenye milima mikali iliyopo kata ya Mang’aliza-Kibakwe wilayani Mpwapwa. Waziri Simbachawene ameyasema hayo wakati wa ziara ya…

Read More

Serikali yaweka mikakati ya kuboresha mifumo ya kukabiliana na majanga

Mbeya. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali imeweka mikakati madhubuti ya kuboresha mifumo ya kukabiliana na majanga na maafa, sambamba na mabadiliko ya tabianchi. Amesisitiza umuhimu wa sekta binafsi kushiriki kikamilifu katika juhudi hizo. Majaliwa ameyasema hayo leo Jumatatu, Oktoba 13, 2025, mkoani Mbeya wakati akitoa tamko katika kilele cha maadhimisho ya Siku ya Kimataifa…

Read More

MIRADI ILIYOTEKELEZWA KWA KODI IWEKEWE MABANGO

…..,……,…..  Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ameagiza miradi yote mikubwa iliyojengwa na inayoendelea kujengwa kwa fedha za ndani zinazotokana na Kodi iandikwe ili kuwaonyesha Watanzania namna Kodi wanazolipa zinavyofanya kazi. Waziri Mkuu ametoa maagizo hayo leo Julai 8, 2025 Jijini Arusha wakati akifungua kikao cha tathmini ya utendaji kazi…

Read More

TANESCO RUVUMA YAENDELEA NA ZIARA YA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU MATUMIZI SAHIHI YA UMEME

 NA BELINDA JOSEPH, RUVUMA  Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) mkoani Ruvuma limeendelea na ziara yake ya kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa kutunza miundombinu ya umeme, Ziara hiyo imekita kambi  eneo la Mitendewawa, kata ya Mshangano, ambapo wananchi wamejifunza hatua mbalimbali za kuhakikisha wanapata na kutumia umeme kwa usahihi.  Afisa Uhusiano na huduma kwa…

Read More