Kwa Mzamiru kumewaka, Simba ikizubaa…, Meneja afunguka

SIMBA imetuliza presha kwa Kibu Denis ambaye imefanikiwa kumbakisha, lakini sasa kuna jipya tena na ikizubaa kidogo yule mido asiyechoka mithili ya mnyama punda atang’oka baada ya kutengewa mamilioni ya fedha. Kiungo huyo, Mzamiru Yassin ambaye kusikia jina lake linavuma ni mara chache sana, ingawa akiwa uwanjani anapiga kazi kubwa kuifichia aibu timu hiyo. Mkataba…

Read More

CCM YASISITIZA UMUHIMU WA KUKUZA SEKTA BINAFSI,UWEKEZAJI

Na Mwandishi Wetu,Tanga CHAMA Cha Mapinduzi (CCM)kimesema kwamba hakutakuwa na mabadiliko ya kweli katika kukuza uchumi wa nchi, endapo sekta binafsi hazitapewa kipaumbele katika uwekezaji nchini. Hayo yamesemwa leo Juni 8, 2024 jijini  Tanga na  Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi alipokuwa akizindua Kiwanda cha kuzalisha nyaya za umeme na…

Read More

Askofu Shoo: Waliomshambulia Dk Kitima hawaitakii mema nchi

Moshi. Askofu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Fredrick Shoo amelaani kushambuliwa kwa Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Dk Charles Kitima akisema ni tukio baya. “Tukio la kushambuliwa kwa Dk Kitima linashtusha, linasikitisha na linapaswa kukemewa kwa nguvu zote na Watanzania. Yeyote aliyetenda unyama…

Read More