KAMATI YA BUNGE UWEKEZAJI MITAJI YA UMMA YARIDHISWA NA MRADI WA MAKAZI WA CANADIAN MASAKI
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), Masanja Kadogosa, leo Machi 24, 2026 ameongoza ziara ya ukaguzi wa mradi wa Canadian Village Awamu ya Kwanza uliopo wilayani Kinondoni, jijini Dar es Salaam. Mradi huo unaotekelezwa katika eneo lenye ukubwa wa takribani ekari 6.4, ni miongoni mwa miradi…