Prince Dube aishi kifahara dar, aiponza Yanga

MWANASPOTI linajua vigogo walio karibu na Yanga wamempa maisha ya kifahari staa anayepambana kuvunja mkataba na Azam, Prince Dube lakini klabu imeingia msituni kwa staili ya tofauti. Dube kwa sasa anaishi kwenye jumba moja la kifahari maeneo ya Salasala, Dar es Salaam kilomita chache kutoka kwenye ufukwe wa bahari ya Hindi. Lakini habari za ndani…

Read More

DKT. BITEKO ASISITIZA MAADILI, WELEDI NA UWAJIBIKAJI KATIKA UNUNUZI WA UMMA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amezitaka Mamlaka za Udhibiti na Ununuzi wa Umma Afrika Mashariki kuzingatia weledi, maadili na uwajibikaji ili kuleta ufanisi uliokusudiwa. Dkt. Biteko ametoa agizo hilo wakati akimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan katika ufunguzi wa Jukwaa la 16 la Ununuzi…

Read More

Dk Biteko mgeni rasmi kongamano la MSMEs

Dar es Salaam. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kongamano la wajasiriamali wadogo, wa chini na wa kati (MSMEs). Kongamano hilo linaloandaliwa na Kampuni ya Mwananchi Communictions Limited (MCL), litafanyika Julai 5, mwaka huu, badala ya Juni 27 iliyotangazwa awali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na…

Read More

Wabongo nguvu sawa Uturuki | Mwanaspoti

BAADA ya tambo za Watanzania wawili wanaokipiga katika Ligi ya Walemavu nchini Uturuki hatimaye mechi baina ya timu zao imemalizika kwa sare ya 1-1. Nyota hao ni Hebron Shedrack wa Sisli Yeditepe na Ramadhan Chomelo anayekipiga Konya Amputee ambao walikutana kwenye mchezo wa Ligi hiyo uliojaa ushindani. Akizungumza na Mwanaspoti, Shedrack ambaye pia aliifunga timu…

Read More

Mke asimulia mume alivyomuaga kabla ya kujinyonga

Buchosa. Maria Ikangila, mke wa aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Tawi la Majengo wilayani Sengerema amesimulia mume wake alivyojitoa uhai kwa kujinyonga kutokana na ugumu wa maisha uliosababisha ashindwe kupata matibabu. Hamis Budaga (60), mkazi wa Kijiji cha Majengo, Kata ya Nyakasungwa mkoani Mwanza anadaiwa kujinyoga kwa kutumia kamba ya nailoni kwenye mti wa mwembe ulioko…

Read More

Kivumbi uchaguzi TWFA Mwanza | Mwanaspoti

KESHO Chama cha Soka la Wanawake Mkoa wa Mwanza (WFAMZ) kitafanya uchaguzi mkuu kupata uongozi mpya utakaochaguliwa na wapigakura 12, huku kukiwa na mnyukano mkali ambao umefanya kamati ya uchaguzi huo kutoa onyo kali. Nafasi zinazogombewa kwenye uchaguzi huo ni mwenyekiti na Sophia Makilagi anatetea kiti chake akikabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa Mwenyekiti wa…

Read More

Sababu Jeshi la Polisi kutajwa 10 bora Afrika

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi la Tanzania limetajwa kuwa miongoni mwa majeshi bora 10 barani Afrika kwa kuwa na weledi na kuheshimu haki za wananchi, utafiti wa Afrobarometer umebainisha. Katika kigezo hicho, Burkina Faso imeongoza ikifuatiwa na Morocco, Niger, Benin, Mali, Senegal, Tanzania, Madagascar, Mauritania na Mauritius. Mbali na kigezo hicho, pia Tanzania imeongoza…

Read More

Mamalishe Soko la Kinyasini walia kukosa huduma ya choo, Serikali yatoa neno

Unguja. Mamalishe wa Soko la Kinyasini, lililopo Wilaya ya Kaskazini A, Mkoa wa Kaskazini Unguja, wamelalamikia kukosa huduma ya choo, jambo linalowalazimu kufungiana kanga kujiziba wanapokwenda kujisitiri. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na Mwananchi leo Jumatatu, Januari 13, 2025, Semeni Salumu, mmoja wa mamalishe hao, amesema hali hiyo inawasikitisha kwa kuwa soko hilo linatakiwa kuwa na…

Read More