Viongozi wa dini Mwanza walaani vitendo vya mauaji

Mwanza. Viongozi wa dini kamati ya amani Mkoa wa Mwanza, wamelaani vitendo vya mauaji, utekaji, upoteaji na ukatili vinavyoendelea kuripotiwa nchini. Kamati hiyo iliyokutana leo Jumamosi Septemba 21, 2024 jijini humo wakiadhimisha siku ya amani duniani pia wamevitaka vyombo vya ulinzi na usalama kutokata tamaa na badala yake viendelee kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa…

Read More

Waandamanaji kadhaa wauwawa Kenya – DW – 25.06.2024

Sehemu ya maeneo ya bunge nchini Kenya yamechomwa moto wakati maelfu ya waandamanaji wanaopinga mswada tete wa fedha, walipovamia katika maeneo hayo. Wabunge waliokuwa ndani ya bunge, inasemekana walitoroshwa na kupelekwa sehemu salama. Hatua hiyo ya waandamanaji kuvamia maeneo ya bunge ni shambulizi la moja kwa moja kwa serikali ambalo halijawahi kuonekana kwa miongo kadhaa. …

Read More

Yanga, JKT zashika tiketi ya Azam CAF

LEO, JUMAPILI Yanga inacheza na JKT Tanzania mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga huku dakika 90 zikikamilika kutakuwa na mambo matatu yamepatiwa majibu. Mchezo huo uliopangwa kuanza saa 10:00 jioni, unawakutanisha mabingwa watetezi Yanga wanaolisaka taji hilo kwa mara ya nne mfululizo, inakutana na JKT Tanzania inayolifukuzia…

Read More

Mikoa minne kuanza uboreshaji daftari la mpigakura

Songea. Baada ya kuanza katika Mikoa mbalimbali ikiwemo Kigoma, hatimaye uboreshaji wa daftari la kudumu la mpigakura umefika wilayani Songea mkoani Ruvuma, huku wananchi wakionywa kuhusu kujiandikisha zaidi ya mara moja. Kwa mujibu wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INCE), kujiandikisha zaidi ya mara moja ni kosa la jinai na adhabu yake ni faini,…

Read More

Dk Mwinyi awaahidi wavuvi wadogo uvuvi wa bahari Kuu

Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Hussein Mwinyi ameahidi kuwa endapo atapata ridhaa ya kuongoza kwa muhula wa pili, serikali yake itaweka mkazo mkubwa katika kuwawezesha wavuvi wadogo kuvua bahari kuu ili kuongeza kipato chao na kukuza uchumi wa taifa. Dk Mwinyi ametoa kauli hiyo leo Jumanne Septemba 30, 2025,…

Read More