Sarafu mtandao zawaingiza matatani walimu wanne, mfanyabiashara

Dodoma. Walimu wanne na mfanyabiashara mmoja wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuwatapeli wananchi kwa kuwadanganya kuwekeza katika sarafu za kimtandao (cryptocurrency), kisha kutoweka na fedha walizowekeza. Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime, ametoa taarifa leo Septemba 11, akieleza kuwa watuhumiwa walikamatwa Septemba 7, 2024, katika Hoteli ya Gold Crest jijini Mwanza kufuatia malalamiko…

Read More

Wasiwasi umetanda Msumbiji, Mondlane aitisha maandamanoDa – DW – 23.12.2024

Umma wa Msumbiji unasubiri kwa hamu uamuzi wa baraza la katiba kuhusu matokeo ya uchaguzi wa rais, yaliyozusha mvutano mkubwa. Kiongozi wa upinzani Venancio Mondlane ameapa kuamsha vurugu nchini humo, ikiwa baraza hilo litamthibitisha mgombea wa chama tawala, Daniel Chapo kuwa mshindi. Wasiwasi umetanda nchi nzima Wasiwasi umetanda kote nchini Msumbiji, huku macho yakielekezwa kwa…

Read More

Dawasa yajipanga kuwadhibiti wasiolipa bili za maji

Dar es Salaam. Ili kukabiliana na changamoto ya madeni ya bili za maji, Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa), imejipanga kuwafungia dira za maji za malipo ya kabla wadaiwa, ikieleza mpaka sasa inawadai zaidi ya Sh40 bilioni. Kwa mujibu wa Dawasa, wadaiwa hao wapo katika makundi matatu ambayo ni taasisi…

Read More

MBUNGE KABUDI AIOMBA SERIKALI KUWEKEZA KIUCHUMI MKOANI MOROGORO

Na Janeth Raphael MichuziTv – Bungeni Dodoma Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi ameishauri Serikali kuwekeza katika Mkoa wa Morogoro ambao unaweza kusukuma uchumi wa Nchi kwa kuwekeza katika nishati ya maji katika Mabwawa yote Matatu ya Kihansi, Kidatu na Bwawa la Mwalimu Nyerere. Mbunge huyo ametoa kauli hiyo Bungeni Jijini Dodoma wakati akichangia hoja…

Read More

Coastal Union waitana Tanga | Mwanaspoti

WAGOSI wa Kaya ‘Coastal Union’ wanajiandaa kuzipokea timu za Fountain Gate na Tabora United katika mechi mbili za Ligi Kuu Bara za kufungia msimu huu, lakini mabosi wa klabu hiyo wamewaita wanachama ili kujadili mipango kwa maandalizi ya msimu mpya wa 2025-2026. Uongozi huo umeitisha mkutano mkuu maalumu utakaofanyika Julai 12 kujadili taarifa ya maendeleo…

Read More